Header Ads

SNOOP DOGG and WIZH KHALIFA KUTO ENDELEA KWA TAMASHA LAO IKIONYESHA KUWA WATU 42 WAMEUMIA .





Mashabiki 42 wamejeruhiwa kwenye show ya Snoop Dogg na Wiz Khalifa huko Camden, New Jersey.
Snoop-Dogg-and-Wiz-Khalifa-perform-may-2016-billboard-1548
Ajali hiyo ilitokea baada ya uzio unaotengenisha stage na mashabiki kuanguka na kuwafanya watu wa mbele waangukiane.

No comments

YoungGskillz.com . Powered by Blogger.