PRINCESS TIFFAH AFIKISHA FOLLOWERS 1 MILLION INSTARGRAM.
Hakuna ubishi kuwa Princess Tiffah ndiye mtoto maarufu zaidi Afrika
kwa sasa. Umaarufu wake unazidi kuongozeka kiasi ambacho wiki hii
amefikisha followers milioni 1 kwenye mtandao wa Instagram.

Umaarufu huo hajahangaika hata kuutafuta kwakuwa ni mtoto wa couple maarufu zaidi pia Afrika – Diamond na Zari.

Akaunti yake husimamiwa na mama yake ambaye katika kusherehekea hatua hiyo ameamuandikia: Who wouldn’t be excited with a new Bentley whip
THANK YOU MY 1 MILLION FOLLOWERS
.
Zari na Diamond wanatarajia kupata mtoto wa pili mwezi ujao.
Umaarufu huo hajahangaika hata kuutafuta kwakuwa ni mtoto wa couple maarufu zaidi pia Afrika – Diamond na Zari.
Akaunti yake husimamiwa na mama yake ambaye katika kusherehekea hatua hiyo ameamuandikia: Who wouldn’t be excited with a new Bentley whip
Zari na Diamond wanatarajia kupata mtoto wa pili mwezi ujao.
Post a Comment