YOUTUBE YAMUOKOA DAVIDO MAREKANI
Polisi walifanya hivyo baad aya kuchunguza maisha ya kifahari anayoishi Davido bila kujua kipato chake kinatoka wapi kwenye eneo hilo analoishi.
Davido alitumia ukweli kwa kuwaambia yeyeni staa wa muziki kutoka Nigeria na kuwaonyesha Channel yake ya Youtube inavyotazamwa na zaidi ya watu milioni 100.
Post a Comment