Header Ads

YAMOTO BAND KUTUA COKE STUDIO AFRICA ( By PICHA )

Yamoto Band ni miongoni kati ya wasanii waliochaguliwa kushiriki kwenye msimu wa nne wa kipindi cha Coke Studio Africa kinachofanyika jijini Nairobi, Kenya.
37B0338600000578-3763940-image-a-142_1472496045636
Wasanii wengine kutoka Bongo waliochaguliwa kushiriki kwenye kipindi hicho ni pamoja na Joh Makini, Vanessa Mdee na Diamond. Tazama hapo chini picha zao.

chance-the-rapper-beyonce-vmas-backstage
Makonda

No comments

YoungGskillz.com . Powered by Blogger.