Header Ads

ROMA MKATOLIKI KAFUNGA NDOA LEO NYUMBANI KWAO TANGA ( PICHA 4 )

Roma Mkatoliki ni msanii maarufu wa hiphop Tanzania ambaye kwenye upande wa pili wa maisha ameamua kufunga ndoa na mpenzi wake wa longtime ambaye wana mtoto pamoja (Ivan) na April 9 2016 ndoa imefungwa nyumbani Tanga na ni baada ya send-off kufanyika Dar es salaam February 2016.
roma 5
Roma 4

Roma 2

February 2016 kwenye send-off Roma Mkatoliki akisindikizwa na mshkaji wake Kala Jeremih.

No comments

YoungGskillz.com . Powered by Blogger.