Header Ads

DARAJA LA KIGAMBONI KUFUNGULIWA RASMI APRIL

 



Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, akipata maelezo kutoka kwa Meneja Msimamizi wa ujenzi wa daraja la Kigamboni Eng. Karim Mattaka alipokagua daraja hilo leo jijini Dar es salaam. 



Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, akitoa maelekezo kwa Meneja miradi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) Eng. John Msemo wakati alipotembelea daraja la Kigamboni kuangalia ujenzi wa daraja la Kigamboni leo jijini Dar es salaam. 



Mwonekano wa vyumba vya ofisi zitakazotumiwa na wasimamizi wa Daraja la Kigamboni. 



Mwonekano wa daraja la Kigamboni ambalo litafunguliwa rasmi mwezi ujao. 



Barabara za maingilio (inter change) ya Daraja la Kigamboni upande wa Kurasini.

No comments

YoungGskillz.com . Powered by Blogger.